Sunday 6 September 2015

Wema Sepetu Na Kampeni Za Siasa -Morogoro

Wema Sepetu katika kua mstari wa mbele kwenye siasa na kuonyesha kuipa ushirikiano Chama Cha Mapinduzi (CCM), alikua moja ya wasanii na makada walio jitokeza mkoani Morogoro akiongozana na kikundi chake na kikundi MAMA ONGEA NA MWANAO mkoani MOROGORO. Wemasepetu amekua mstari wa mbele akiongozana na wasanii wengi mahiri wa filamu za kitanzania wanao unda kikundi hicho cha Mama Ongea na Mwanao, na wamekua mstari wa mbele kumpigia kampeni MH. John Pombe Magufuli.

Tuesday 11 August 2015

INAYO SADIKIWA KUA JIBU KWA NUHU MZIWANDA.

Caption alivo andika Wema Sepetu ndio inayo sadikiwa kua Jibu Lake kwa Nuhu Mziwanda.uliiona?? 'Naitwa Wema Sepetu na ntabaki kuwa Wema Sepetu... Iam Number One... Sina muda wa kubishana na watoto...Nina muda wa kufanya kazi na kwa sasa jicho langu limeelekea kwa Wanyaturu wangu Singida na kwenye siasa yangu pamoja na kazi zangu za maana bila kusahau entertainment niliokuwa ninayo from 2006 ... Kumbe wakati mi nimelala nyie mnaandika Instagram... Ntapata dhambi kugombana na watoto wadogo-ambao nimewazidi sio pesa tu hadi dhambi pia nimewazidi.... Mstafute kick kupitia jina la Wema jamani... Jitume, amka, usibweteke, fanya kazi.... Umarioo mwisho Chalinze maana Dar wote tuna Hustle... Ama nene....' Wema Sepetu' But these are speculations! He wewe unahisi hili ni jibu??

Sunday 9 August 2015

Who dressed Wema Sepetu earlier today?? she looked too perfect

The beautiful Tanzanian Sweetheart Wema Sepetu was spotted earlier today looking absolutely stunning being dressed by Pugu Mall.

Friday 7 August 2015

Wema Sepetu at Jakaya Mrisho Kikwete Farewell Party

Wema Sepetu attended Jakaya Mrisho Kikwete's Farewell party ,the President of United republic of Tanzania.The beautiful Wema Sepetu Was dressed by MimiHouston1 store located at Dar Free Market
. The Party was held at Mlimani City Hall ,In Dar es salaam Tanzania.

Wednesday 12 February 2014

WEMA SEPETU NA VILENTINE'S DAY.

Wema Sepetu  kama msanii ameweza kuizungumzia Valentine's day kwa upande wake ... katika siku hiyo ame muelezea Diamond na watu wote anao wa penda amekaririwa akiielezea siku hii kua......................


"to me valentine's day is just a normal day, can mean a day to be loved for the loved ones sijui nini nini it doesn't make sense to me coz mimi kama mimi ,when it comes to me and my loved ones that means me and Diamond its like everyday is a valentine's day to us because everyday is very very special to us, But again every thing needs to have siku yake maalumu that's why we have Eid, Christmass but when it comes to Valentines' everyday is valentine ,though I love the day but every day is valentine's day to me."

Monday 10 February 2014

WASANII WAKIKE NA VILENTINE'S DAY.

Valentine's day kama moja ya siku muhimu kwa watu wengi Duniani  imekua ikiwa na maana tofaut tofauti kwa watu. Kama ambavyo pia wasanii wetu wameweza kuitafsiri siku hiyo. 
 Mwasiti kama mmoja wa wasanii wa kike yeye ameweza kuielezea siku kama alivo kaririwa kuwa 

  "Ni siku nzuri kutumia muda  na wale wasiojiweza,wale waliowagonjwa pia"
 


Kwa upande wa "Agness wa masogange" yeye kwake valentine's day anaichukulia kama alivyo kaliririwa kuwa 
 
"mm naichukulia kawaida tu cz mm nampz wng tunapenda kila cku co mpk valentin"
AGNESS AKIWA NA LINAH


ELIZABETH MICHAEL.. Na VALENTINE'S DAY 

Yeye kasemaje??

"Me naziona kawaida tu...!maybe because I have never experienced anythng abt it...!lol😂" 

Kama kawaida ni vijimambo hahahahaah!



BATULI .... Na VALENTINE'S DAY

Kwa upande wake msanii wa filamu hapa nchini anae julikana lwa jina la Batuli yeye amekaririwa kuielezea siku hii kua

"To my side siitambui Valentine kabisa I'm muslim nasherehekea sikukuu zilizopo kwenye dini yngu tu. "